- Remove Item
Pelikan HB Pencil with Eraser
Qty: 1 KSh44 - Remove Item
Masking Tape 1 Inch x15m
Qty: 1 KSh80 - Remove Item
- Remove Item
OUP Our Lives Today Environmental Activities grade 3
Qty: 1 KSh672 - Remove Item
ECD Workbook Creative Writing Level 3
Qty: 1 KSh464 - Remove Item
Head Start Secondary English Form 3
Qty: 1 KSh940 - Remove Item
Square Ruled Leaf Pad A4 Kartasi Ref 131
Qty: 1 KSh240 - Remove Item
Secondary CRE Form 2 by KLB
Qty: 1 KSh668 - Remove Item
Mentor CRE Learner's Grade 4
Qty: 1 KSh690 - Remove Item
New Beginning IRE Learners Grade 6 (Approved)
Qty: 1 KSh632 - Remove Item
OfficePoint art Acrylic 12ML 18 Colours PAA-18 by Officepoint
Qty: 1 KSh1,244 - Remove Item
Insha hatua kwa hatua Toleo la Pili
Qty: 1 KSh649
Fani ya Isimujamii kwa Shule za Sekondari by Ipara Isaac Odeo
Fani ya Isimujamii kwa Shule za Sekondari ni kitabu kitokanacho na juhudi za makusudi za kuziba pengo la ukosefu wa vitabu kwenye ufundishaji wa somo la Isimujamii katika shule za sekondari. Kitabu hiki kimeandikwa na wataalamu wenye tajriba pana katika taaluma ya lugha na ufundishaji wake. Ni zao la utafiti wa kina na tathmini ya mahitaji ya wanafunzi na jamii. Upekee wa kitabu hiki unatokana na jinsi kinavyozingatia mahitaji ya walengwa. Kitabu kimekusanya mada na vipengele vyote vya Isimujamii vilivyomo katika silabasi mpya na kuvizamia kwa uketo. Aidha, maudhui yameshughulikiwa kwa namna inayosisimua na kuchochea hamu ya wanafunzi na walimu. Maelezo nayo yametolewa kwa utoshelevu na kwa njia sahali inayobainisha kwa uwazi dhana na hoja ili kurahisisha usomaji na uelewa. Mifano kemkemu inayokita katika mazingira na miktadha halisi inayofahamika imetolewa ili kukipa kitabu nguvu za kipekee. Kila sehemu ina maswali yenye lengo la kuzindua fikira za walengwa, kuwapa mazoezi na kuwapiga msasa. Fani ya Isimujamii kwa Shule za Sekondari kimeandikwa ili kukidhi kikamilifu mahitaji ya silabasi mpya ya Kiswahili na kuwapa wanaokitumia umilisi katika matumizi ya lugha kwenye nyanja mbalimbali. Kwa hakika kitabu hiki ni wenzo tosha kwa mwanafunzi anayejiandaa kuukabili ipasavyo, na kwa kujiamini, Mtihani wa Kiswahili wa Kitaifa wa Kidato cha Nne.
KSh619
- Guarantee safe checkout
Share :
SHIPPING
- Complimentary ground shipping within 1 to 7 business days
- Warehouse collection available within 1 to 7 business days
- Kindly call 0110 600 411 to make arrangements for special next-day and express delivery options
- Purchases are delivered in a branded carton box fastened with branded cello tape.
- Kindly call 0110 600 411 for details on alternative shipping methods, costs and delivery times
- See the FAQs for all other important information
RETURNS AND EXCHANGES
- Easy and complimentary, within 24 hours
- See the FAQs for all other important information
Have a question?
Recently viewed products
Fani ya Isimujamii kwa Shule za Sekondari by Ipara Isaac Odeo
KSh619
