- Remove Item
Moran Primary School Atlas For Social Studies
Qty: 1 KSh630 - Remove Item
Veda Set Square 60 30 Degrees
Qty: 1 KSh450 - Remove Item
Read and Grow Moran ECD Baby Monkey 3
Qty: 1 KSh226 - Remove Item
Sly Fox and Little Red Hen
Qty: 1 KSh150 - Remove Item
Element Of Composition Writing
Qty: 1 KSh812 - Remove Item
JKF Foundation Music Learners Grade 5 Approved
Qty: 1 KSh348 - Remove Item
The Turning Point 5h By Oxford
Qty: 1 KSh267 - Remove Item
Square Ruled Leaf Pad A4 Kartasi Ref 131
Qty: 1 KSh240 - Remove Item
Torch Encyclopedia Grade 4
Qty: 1 KSh1,497 - Remove Item
OUP Agriculture Today Learners Book Grade 8
Qty: 1 KSh675
Fani ya Isimujamii kwa Shule za Sekondari by Ipara Isaac Odeo
Fani ya Isimujamii kwa Shule za Sekondari ni kitabu kitokanacho na juhudi za makusudi za kuziba pengo la ukosefu wa vitabu kwenye ufundishaji wa somo la Isimujamii katika shule za sekondari. Kitabu hiki kimeandikwa na wataalamu wenye tajriba pana katika taaluma ya lugha na ufundishaji wake. Ni zao la utafiti wa kina na tathmini ya mahitaji ya wanafunzi na jamii. Upekee wa kitabu hiki unatokana na jinsi kinavyozingatia mahitaji ya walengwa. Kitabu kimekusanya mada na vipengele vyote vya Isimujamii vilivyomo katika silabasi mpya na kuvizamia kwa uketo. Aidha, maudhui yameshughulikiwa kwa namna inayosisimua na kuchochea hamu ya wanafunzi na walimu. Maelezo nayo yametolewa kwa utoshelevu na kwa njia sahali inayobainisha kwa uwazi dhana na hoja ili kurahisisha usomaji na uelewa. Mifano kemkemu inayokita katika mazingira na miktadha halisi inayofahamika imetolewa ili kukipa kitabu nguvu za kipekee. Kila sehemu ina maswali yenye lengo la kuzindua fikira za walengwa, kuwapa mazoezi na kuwapiga msasa. Fani ya Isimujamii kwa Shule za Sekondari kimeandikwa ili kukidhi kikamilifu mahitaji ya silabasi mpya ya Kiswahili na kuwapa wanaokitumia umilisi katika matumizi ya lugha kwenye nyanja mbalimbali. Kwa hakika kitabu hiki ni wenzo tosha kwa mwanafunzi anayejiandaa kuukabili ipasavyo, na kwa kujiamini, Mtihani wa Kiswahili wa Kitaifa wa Kidato cha Nne.
KSh619
- Guarantee safe checkout
Share :
SHIPPING
- Complimentary ground shipping within 1 to 7 business days
- Warehouse collection available within 1 to 7 business days
- Kindly call 0110 600 411 to make arrangements for special next-day and express delivery options
- Purchases are delivered in a branded carton box fastened with branded cello tape.
- Kindly call 0110 600 411 for details on alternative shipping methods, costs and delivery times
- See the FAQs for all other important information
RETURNS AND EXCHANGES
- Easy and complimentary, within 24 hours
- See the FAQs for all other important information
Have a question?
Recently viewed products
Fani ya Isimujamii kwa Shule za Sekondari by Ipara Isaac Odeo
KSh619
