Dear Parents, Please note that some textbooks listed under Nova Pioneer International School are currently out of stock.
These titles are imported and, due to high demand and shipping timelines,
order fulfillment may be delayed.
We are actively working with our international suppliers to restock as soon as possible.
Kindly note that any outstanding orders for these books will be fulfilled within 4 weeks at the latest. We sincerely appreciate your patience and understanding. Feel free to contact us.
Kiswahili Fasaha ni kitabu kinachoakisi mtazamo teule wa kujifunza lugha ya Kiswahili kulingana na mahitaji ya wanafunzi wa shule za sekondari na kuwiana na silabasi mpya. Kitabu hiki kinajenga na kuimarisha msingi thabiti wa stadi zote za lugha ya Kiswahiti, matumizi ya lugha, fasihi, ufasaha wa lugha na utunzi ili kumtayarisha mwanafunzi kimapana na kikamilifu awe mwanafunzi fasaha na mweledi. Kiswahili Fasaha, Kidato cha Pili, ni cha pili katika mfululizo wa vitabu vinne. Kitabu hiki kinaambatana na Mwongozo wa Mwalimu.